Baraza la Haki za Binadamu la Umoja wa Mataifa

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Waandamanaji mbele ya makao ya Baraza la haki za binadamu

Baraza la Haki za Binadamu la Umoja wa Mataifa (kwa Kiingereza: United Nations Human Rights Council, kifupi: UNHRC) lipo katika mfumo wa Umoja wa Mataifa. Baraza hilo (UNHRC) liliundwa na Mkutano Mkuu wa Umoja wa Mataifa kuchukua nafasi ya Tume ya Haki za Binadamu ya Umoja wa Mataifa (United Nations Commission on Human Rights, CHR).

Mkutano Mkuu wa Umoja wa Mataifa ulianzisha UNHRC tarehe 15 Machi 2006. Baraza hili liliundwa kuibadili tume ya Haki za Binadamu ya umoja wa Mataifa kwa sababu hiyo iliziruhusu nchi zenye rekodi mbaya za utunzaji wa Haki za Bianadamu kuwa washirika.[1][2]

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

  1. "UN creates new human rights body", BBC, 15 March 2006. 
  2. http://daccess-ods.un.org/access.nsf/Get?Open&DS=A/60/PV.72&Lang=E

Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]

Wikimedia Commons ina media kuhusu: