Baraawe

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
(Elekezwa kutoka Barawa)
Mji wa Baarawe

Baraawe ni mji wa Somalia kusini.

Idadi ya wakazi hukadiriwa kuwa 42,800. Baadhi yao wanaongea Kiswahili (lahaja ya Chimbalanzi).

Tazama pia[hariri | hariri chanzo]

Tanbihi[hariri | hariri chanzo]

Makala hii kuhusu maeneo ya Somalia bado ni mbegu.
Je unajua kitu kuhusu Baraawe kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni?
Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.