Banuelia Mrashani
Mandhari
Banuelia Mrashani (alizaliwa 14 Novemba 1977) ni Mtanzania aliyeshiriki mashindano ya mbio ya masafa marefu.
Mwaka 2004 alishindana katika Marathon ya wanawake ya Olimpiki za majira ya joto.[1]
Tanbihi
[hariri | hariri chanzo]- ↑ https://www.sports-reference.com/olympics/athletes/mr/banuelia-mrashani-1.html Ilihifadhiwa 18 Aprili 2020 kwenye Wayback Machine. |title=Banuelia Mrashani Olympic Results |accessdate=30 May 2017
| Makala hii kuhusu wasifu wa Mtanzania bado ni mbegu. Unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuongezea habari. |