Banuelia Mrashani

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Banuelia Mrashani (alizaliwa 14 Novemba 1977) ni Mtanzania aliyeshiriki mashindano ya mbio ya masafa marefu.

Mwaka 2004 alishindana katika Marathon ya wanawake ya Olimpiki za majira ya joto.[1]

Tanbihi[hariri | hariri chanzo]

  1. https://www.sports-reference.com/olympics/athletes/mr/banuelia-mrashani-1.html Archived 18 Aprili 2020 at the Wayback Machine. |title=Banuelia Mrashani Olympic Results |accessdate=30 May 2017