Banga, Entebbe
Banga ni makazi katika jiji la Entebbe nchini katika mkoa wa kati nchini Uganda.[1]
Mahali ilipo[hariri | hariri chanzo]
Banga inapatikana kaskazini magharibi mwa jiji la Entebbe, ikiwa Katabi iko kaskazini mashariki mwa Banga, kijiji cha Lunyo iko kusini mashariki na Kusini mwa Banga. Taasisi ya Utafiti wa Virusi ya Uganda ipo kusini magharibi mwa Banga. Sehemu ya magharibi Banga ipo karibu na maji ya Ziwa Victoria inaitwa Nakiwogo na wakati mwingine huitwa Banga-Nakiwogo.[2]
Marejeo[hariri | hariri chanzo]
Makala hii kuhusu maeneo ya Uganda bado ni mbegu. Je unajua kitu kuhusu Banga, Entebbe kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni? Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |