Banda, Uganda

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Ramani ya eneo Kampala
majira nukta (0 ° 21'14.0 "N, 32 ° 37'57.0" E (Latitudo: 0.353889; Longitudo: 32.632500)

Banda ni muinuko mdogo ambao uko katika Tarafa ya Nakawa mji mkuu wa Uganda Kampala. Banda pia inataja vitongoji vilivyopo kwenye mteremko wa kilima na katikati ya kilima cha Banda na Kireka mpaka barabara kuu ya Kampala-Jinja ambapo mteremko wa kusini magharibi mwa kilima huchukuliwa na kitongoji kinachojulikana kama Kyambogo, na ni eneo la chuo kikuu cha Kyambogo ambacho ni miongoni mwa vyuo vikuu tisa vya umma nchini Uganda.

Mhali ilipo[hariri | hariri chanzo]

Banda inapakana na Kiwaatule kaskazini, Kireka mashariki, Kinnawattaka kusini mashariki, Mbuya kusini, Nakawa kusini magharibi, Ntinda magharibi na kaskazini magharibi. Mahali pa kilima ni takriban kilomita 11 sawa na maili 6.8 kwa barabara kupitia mashariki mwa wilaya kuu ya biashara ya Kampala. [1] na inapatikana majira nukta (0 ° 21'14.0 "N, 32 ° 37'57.0" E (Latitudo: 0.353889; Longitudo: 32.632500)}.[2]


Marejeo[hariri | hariri chanzo]

  1. "Map Showing Central Kampala And Banda With Distance Indicator". Globefeed.com. Iliwekwa mnamo 18 June 2014.  Check date values in: |accessdate= (help)
  2. Google, . "Location of Banda, Uganda At Google Maps". Google Maps. Iliwekwa mnamo 18 June 2014.  Check date values in: |accessdate= (help)