Anthony Oseyemi
Anthony Oluwakayode Oseyemi (alizaliwa Januari 17 1977), ni Mwingereza–Msauzi muigizaji mwenye asili ya Nigeria.[1] Anajulikana sana kwa uhusika wake katika filamu ya teleseli Five Fingers for Marseilles, The Congo Murders and Isidingo. mbali na uigizaji pia ni mwandishi, mwanamuziki na mtayarishaji.[2]
Marejeo[hariri | hariri chanzo]
![]() |
Makala hii kuhusu mwigizaji filamu fulani bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Anthony Oseyemi kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |
- ↑ Anthony Oseyemi: Darsteller in Serien. fernsehserien.
- ↑ EXCLUSIVE Interview With Anthony Oseyemi. zkhiphani.