Anthony Mwandu Diallo
Anthony Mwandu Diallo (amezaliwa 25 Desemba 1956) ni Mbunge katika Bunge la Tanzania la 2005-2010 akiwakilisha jimbo la uchaguzi la Mwanza Vijijini.
Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]
- Tovuti ya Bunge la Tanzania
Makala hiyo kuhusu mwanasiasa wa Tanzania bado ni mbegu. Unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuongezea habari. |