Aniceti Kitereza

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Aniceti Kitereza (mnamo mwaka 1896 - 1981) alikuwa mwandishi Mtanzania aliyeandika hasa katika lugha yake ya Kikerewe.

Mnamo mwaka 1945, alitoa riwaya yake hodari kabisa Myombekere na Bugonoka na Ntulanalwo na Bulihwali.

Maandishi[hariri | hariri chanzo]

Makala hii kuhusu mwandishi fulani bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Aniceti Kitereza kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.