Nenda kwa yaliyomo

Ali Wario

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Ali Wario (alizaliwa Bura, 5 Mei 1970) ni mwanasiasa wa Kenya na mbunge wa bunge la 9 na 11 la Kenya na alikuwa waziri msaidizi wa mambo ya ndani kutoka 2003 hadi 2006[1][2]

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

  1. "Hon. Wario, Ali | The Kenyan Parliament Website". www.parliament.go.ke. Iliwekwa mnamo 2023-11-18.
  2. "Police hunting down MP Ali Wario for refusing to be screened". Nairobi News (kwa American English). 2020-03-25. Iliwekwa mnamo 2023-11-18.