Akuoma Omeoga

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Akuoma Ugo Tracy Omeoga (alizaliwa 22 Juni 1992) ni mwanamke mchezaji wa sledi ya Nigeria-Marekani. Alishindana kwa niaba ya kikosi cha Nigeria kwenye timu ya sledi ya Nigeria kwenye tukio la wanawake wawili kwenye Michezo ya Olimpiki ya Majira ya Baridi ya mwaka 2018.[1] Omeoga alizaliwa huko Saint Paul, Minnesota, wazazi wake walikuwa wamehamia kutoka Nigeria kwenda Marekani kusomea. Baadaye katika maisha yake, Omeoga alihudhuria Chuo Kikuu cha Minnesota.[2]

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

  1. "Akuoma Omeoga". PyeongChang2018.com. PyeongChang Organizing Committee for the 2018 Olympic & Paralympic Winter Games. Ilihifadhi kwenye nyaraka kutoka chanzo mnamo 21 February 2018. Iliwekwa mnamo 19 February 2018.  Unknown parameter |url-status= ignored (help); Check date values in: |archivedate=, |accessdate= (help)
  2. Rosengren, John. "Speed Racer". minnesotaalumni.org. University of Minnesota. Iliwekwa mnamo June 28, 2020.  Check date values in: |accessdate= (help)
Makala hii kuhusu mtu huyo bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Akuoma Omeoga kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.