Akiolojia ya Kisiwa cha Pemba

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Kisiwa cha Pemba, ni kisiwa kikubwa cha matumbawe katika pwani ya Tanzania. Kisiwa hiki kinakaliwa na wabantu kutoka pwani ya Tanga kuanzia miaka ya 600 AD, kisiwa hiko kinautajiri mwingi katika biashara, kilimo na historia ya dini ambayo imechangia vikubwa kwenye biashara kupitia Bahari ya Hindi.

Kisiwa cha Pemba
Mabaki ya Pujini huko Chake Chake
Msikiti wa Chakwa katika wilaya ya Micheweni
Ikulu ya Mkama Ndume ndani ya Pujini katika wilaya ya Chake Chake

Ushahidi wa kwanza wa kukaliwa kwakwe ulikuwa ni katika karne ya Saba AD katika eneo lilioitwa Tumbe ndani ya wilay aya Micheweni ya kisiwa hicho.[1] Dara za kiisimu ka kiakiolojia zinaonyesha kuwa walowezi wa kwanza waliweza kuhama wakitokea bara.[2] Miji iliendelea kuanzishwa kuzunguka kisiwa hicho baada ya Tumbe, na mabaki ya kilimo na kauri kuonyesha kuwa watu wake walikuwa wakulima.

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

  1. Fleisher, Jeffrey; LaViolette, Adria (2013-11-22). "The early Swahili trade village of Tumbe, Pemba Island, Tanzania, AD 600–950". Antiquity 87 (338): 1151–1168. ISSN 0003-598X. doi:10.1017/s0003598x00049929. 
  2. Kusimba, Chapurukha M., mhariri (2003). East African archaeology: foragers, potters, smiths, and traders (toleo la 1. ed). Philadelphia: Univ. of Pennsylvania Museum of Archaeology and Anthropology. ISBN 978-1-931707-61-9.