Akhtala
Jump to navigation
Jump to search
Akhtala (kwa Kiarmenia: Ախթալա; pia umepewa jina la Kirumi kama Akht’ala na la Kirusi kama Nizhnyaya Akhtala) ni kijiji kilichopo katika Mkoa wa Lori huko nchini Armenia (idadi ya wakazi imekadiriwa kuwa 2,000). Ina sehemu za kuvutia za ngome za monasteri za karne ya 13.
Tazama pia[hariri | hariri chanzo]
Marejeo[hariri | hariri chanzo]
- Akhtala kwenye GEOnet Names Server
- Taarifa ya matokeo ya sensa ya wakazi kwa 2001 nchini Armenia
- World Gazeteer: Armenia[dead link] – World-Gazetteer.com
![]() |
Makala hii kuhusu maeneo ya Armenia bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Akhtala kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni? Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |