Agripa II

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Agrippa II alivyochorwa na Guillaume Rouillé katika Promptuarii Iconum Insigniorum.
Mtume Paulo Hukumuni kadiri ya Nikolai Bodarevsky, 1875. Agripa na dada yake Berenike wakimsikiliza Mtume Paulo akijitetea.

Agripa II (aliyezaliwa 27/28), jina lake kamili lilikuwa Marcus Julius Agrippa: ndiye mfalme wa 7 na wa mwisho kutoka ukoo wa Herode Mkuu. Alikuwa mtoto wa Herode Agripa.[1]

Tanbihi[hariri | hariri chanzo]

  1. Mason, Charles Peter (1867), "Agrippa, Herodes II", in Smith, William, Dictionary of Greek and Roman Biography and Mythology 1, Boston: Little, Brown and Company, p. 78 

Vyanzo vingine[hariri | hariri chanzo]

Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]


Makala hii kuhusu mtu wa Biblia bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Agripa II kama habari za maisha au kazi yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.