Africa Independent Television

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Africa Independent ni televisheni ya setilaiti nchini Nigeria, na ulitokana na Da'ar Communications plc, inapatikana kote Afrika, na kupitia mtandao wa setilaiti sahani huko Amerika-Kaskazini. Katika Ufalme wa Uingereza inapatikana katika Sky TV kanal 187. Baadhi ya programu yake pia inapatikana katika Ufalme wa Uingereza kupitia [| BEN Television].

Kuna kanal iliyoongezeka iitwayo AIT Movistar, ambayo hutangazwa katika Sky TV kanal 330.

Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]