Adriana Leon

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Leon mnamo 2024

Adriana Kristina Leon (alizaliwa Oktoba 2, 1992)[1] ni mchezaji wa mpira wa miguu kutoka Kanada ambaye anacheza kama winga wa klabu ya Aston Villa inayoshiriki Ligi Kuu ya Wanawake ya Uingereza (WSL)[2] na timu ya taifa ya Kanada.[3]

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

  1. https://fdp.fifa.org/assetspublic/ce5/pdf/SquadLists-English.pdf
  2. Aston Villa Football Club (2023-09-11). "Adriana Leon joins Aston Villa Women!". Aston Villa Football Club. Iliwekwa mnamo 2024-04-25. 
  3. Aston Villa Football Club (2023-09-11). "Adriana Leon joins Aston Villa Women!". Aston Villa Football Club. Iliwekwa mnamo 2024-04-25. 
Makala hii kuhusu mchezaji mpira fulani bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Adriana Leon kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.