Adrian Logan

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Adrian Logan (alizaliwa 1 Agosti, 1995 huko Dungannon)[1] ni mtangazaji na mwandishi wa habari wa Ireland Kaskazini.

Kazi ya Utangazaji[hariri | hariri chanzo]

Ni mtoto wa mwandishi wa habari wa Dungannon na mwanaspoti PJ "Packie" Logan, Adrian alijiunga na Ulster Television mwaka wa 1985 kama mwandishi wa habari za michezo na mtangazaji, baadaye akawa Mhariri wa Michezo wa kituo hicho. Tarehe 24 Aprili 2009, Logan alitangaza kuwa amejiuzulu kutoka UTV, akidai kutendewa vibaya na wasimamizi wa kituo hicho.

Maisha binafsi[hariri | hariri chanzo]

Logan ni mwanzilishi wa Ulster GAA kikundi cha Waandishi mnamo 1988[2].Logan ameoa na anawatoto watatu[1]. Pia ni miongoni mwa Waandishi wa Mpira Ireland Kaskazini. Hivi karibuni amefanya kazi na BBC Sport radio akitangaza GAA Championship na Irish Premiership.

Amefanya kazi na kampuni kadhaa zinazoongoza za Ireland kuandaa biashara na hafla za michezo zinazojumuisha majina yote ya juu ya michezo ya ndani na ya kimataifa.

Marejeo[hariri | hariri chanzo]