Uwanja wa michezo wa Addis Ababa

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Uwanja wa taifa wa Addis Ababa

Uwanja wa taifa wa Addis Ababa ni uwanja wa michezo ya riadha,Ragi pamoja na mpira wa miguu, ni uwanja wa taifa wa Ethiopia wenye uwezo wa kuchukua mashabiki takriban 250,000.Ulijengwa na serikali ya China ukiwa na ukubwa wa hekari 37 .[1][2][3]

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

  1. "Ethiopia: Construction to start on new national stadium in Addis Ababa". StadiumDB. 7 January 2016.  Check date values in: |date= (help)
  2. "Construction to begin on Addis' Adey Abeba Stadium". Ethiosports. 13 January 2016.  Check date values in: |date= (help)
  3. "CAF President Ahmad visits Ethiopia". Ethiosports. 8 August 2017.  Check date values in: |date= (help)
Makala hii kuhusu mambo ya michezo bado ni mbegu.
Je, unajua kitu zaidi kuhusu Uwanja wa michezo wa Addis Ababa kama historia yake, uenezi au kanuni zake?
Labda unaona katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine habari zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.