Acholibur

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Acholibur ni mji uliopo katika wilaya ya Pader katika Mkoa wa Kaskazini nchini Uganda.

Mahali mji ulipo[hariri | hariri chanzo]

Kutokea Acholibur hadi kusini mwa mji mkubwa wa Kitgum ni mwendo wa takribani Kilometa 19 kwa barabara. [1] Majiranukta ya mji wa Acholibur ni nyuzi 03 ° 08'37.0 "Kas, 32 ° 54'49.0" Mash (Latitudo: 3.143611; Longitudo: 32.913611).[2]

Alama muhimu[hariri | hariri chanzo]

Hizi ni baadhi ya alama za kupendeza ndani au karibu na Acholibur:

  • Ofisi za Halmashauri ya Mji wa Acholibur
  • Makao makuu ya kaunti ndogo ya Acholibur
  • Upande wa kaskazini wa Barabara ya Acholibur – Gulu – Olwiyo
  • Barabara ya Rwekunye – Apac – Aduku – Lira – Kitgum – Musingo, ikipita katikati ya mji kuelekea kaskazini / kusini kwa ujumla.

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

  1. GFC (16 July 2015). "Road Distance Between Kitgum And Acholibur With Map". Globefeed.com (GFC). Iliwekwa mnamo 16 July 2015.  Check date values in: |date=, |accessdate= (help)
  2. "Google Maps". Google Maps (kwa sw-US). Iliwekwa mnamo 2021-08-01.