Abeokuta

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Muonekano wa mjini wa Abeouta kutoka juu ya OlumoRock
Muonekano wa mjini wa Abeouta kutoka juu ya OlumoRock

Abeokuta ni mji wa jimbo la Ogun nchini Nigeria.

Mwaka 2022 umekadiriwa kuwa na wakazi 593,100[1].

Tazama pia[hariri | hariri chanzo]

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

Makala hii kuhusu maeneo ya Nigeria bado ni mbegu.
Je unajua kitu kuhusu Abeokuta kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni?
Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.