Abéché

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Abéché, Tchad
Abéché, Tchad

Abéché ni mji uliopo katika mkoa wa Wadai nchini Chad.

Mwaka 2009 idadi ya watu ilikadiriwa kuwa 97,963 [1].

Tazama pia[hariri | hariri chanzo]

Tanbihi[hariri | hariri chanzo]

  1. Major Cities, Republic of Chad, tovuti ya citypopulation.de
Makala hii kuhusu maeneo ya Afrika bado ni mbegu.
Je unajua kitu kuhusu Abéché kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni?
Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.