Yohane wa Parrano

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Yohane wa Parrano (aliishi katika mkoa wa Umbria, karne ya 6) kwa miaka 40 alikuwa abati nchini Italia na kulea wamonaki wengi[1].

Tangu kale anaheshimiwa kama mtakatifu.

Sikukuu yake inaadhimishwa tarehe 19 Machi[2].

Tazama pia[hariri | hariri chanzo]

Tanbihi[hariri | hariri chanzo]

Makala hii bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.