Willard Libby

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Willard Frank Libby (17 Desemba, 19088 Septemba, 1980) alikuwa mwanakemia kutoka nchi ya Marekani. Hasa anajulikana kwa kugundua mbinu za kurejea kipindi kupitia kaboni 14. Mwaka wa 1960 alikuwa mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Kemia.

Image:WikiLettreMini.svg Makala hiyo kuhusu "Willard Libby" bado ni mbegu. Unaweza kusaidia kuikuza kwa kubofya kitufe kilichoandikwa "hariri".

Ikiwepo makala kuhusu Willard Libby kwa lugha nyingine, unaweza kuitafsiri kwa Kiswahili.

Vifaa binafsi