Wikipedia:Makala kwa ufutaji

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Rukia: urambazaji, tafuta


Majadiliano ya awali yamehamishwa kwenye kurasa hizi:

Ongeza michango chini ya mstari wa mwisho!

Yaliyomo


Oratorio

Makala zirejeshwazo humo zisipoandikwa na hata makala hii ya kutofautisha maana ifutwe. --Baba Tabita (majadiliano) 09:07, 10 Desemba 2011 (UTC)

Sioni kwa nini vibaya kwa ukurasa huu. Nataka kuweka makala. Ian Streeter (majadiliano) 23:22, 22 Desemba 2011 (UTC)
Nimeifuta kwa vile hakuna mabadilisho au uanzishaji wa viungo vitupu. --Baba Tabita (majadiliano) 07:18, 2 Mei 2012 (UTC)

U and Dat IBAKI!

Inashindwa mradi en.wiki aitwaye WP:NSONG. Ian Streeter (majadiliano) 01:12, 16 Desemba 2011 (UTC)

??? Anataka kusema nini??? Kipala (majadiliano) 06:10, 17 Desemba 2011 (UTC)
Sasa naona labda anamaanisha hii makala haina umuhimu wa kutosha kulingana na maelewano yake ya masharti ya en:wiki. Basi sioni sababu za kufuata nyayo za en:wiki kuhusu kila makala. Ibaki. Kipala (majadiliano) 11:18, 17 Desemba 2011 (UTC)
La umuhimu wa makala ni tu kama msanii kuu ina makala, ambayo E-40 hana. Pia hawezi kushindwa WP:NSONG. Sw.wiki lazima kuwa na sheria bora. Hakuna jambo kama hii si en.wiki au la, bado si dhahiri. Mimi tu kusema, haijalishi kama ni en.wiki au sw.wiki, bado si dhahiri kutosha. Ian Streeter (majadiliano) 16:14, 20 Desemba 2011 (UTC)
Kwa vile Ian Streeter mwenyewe sasa ameondoa ombi la ufutaji kwa makala hii (angalia hapa), sasa ibaki. Asante! --Baba Tabita (majadiliano) 07:31, 2 Mei 2012 (UTC)

Kivinimbi

Makala hii ilivyo sasa haifai kwa kamusi elezo (wikipedia). Ina sentensi moja tu, tena ni elezo jinsi ambavyo ingefaa kwa wikamusi (wiktionary). Pia sina uhakika kama ni Kiswahili sanifu. Isipopanuliwa na kurekebishwa na ifutwe. --Baba Tabita (majadiliano) 10:46, 21 Februari 2012 (UTC)

I'd have to say to delete the page, since there is no content at all, basically. Ian Streeter (majadiliano) 22:12, 23 Machi 2012 (UTC)
Imefutwa. --Baba Tabita (majadiliano) 07:18, 2 Mei 2012 (UTC)

Chuo cha afya kagemu

Makala imeandikwa kwa Kiingereza siyo kwa Kiswahili. Tena haionyeshi sifa za makala ya kamusi elezo. Isipotafsiriwa na kurekebishwa na ifutwe. --Baba Tabita (majadiliano) 11:00, 2 Machi 2012 (UTC)

Raslimali watu

Kwanza, kufuatana na kamusi neno liandikwe "Rasilimali". Halafu, sina uhakika kama istilahi ya "Rasilimali watu" inatumika hivyo kwelikweli. Kwa vyovyote, makala isipopanuliwa na ifutwe. --Baba Tabita (majadiliano) 06:46, 2 Mei 2012 (UTC)

IMEFUTWA Kipala (majadiliano) 15:23, 11 Mei 2012 (UTC)

Jamii wakati wa ujima katika Afrika

Hata kichwa si cha kawaida kwa kamusi elezo, tena makala inaonekana kuwa insha ya maoni badala ya makala ya kamusi. Ndiyo sababu napendekeza ifutwe. --Baba Tabita (majadiliano) 06:51, 2 Mei 2012 (UTC)

IMEFUTWA Kipala (majadiliano) 15:23, 11 Mei 2012 (UTC)

Makosa katika kujifunza lugha ya pili

Siyo makala bali ni swali la mwandishi. Isipoandikwa upya, na makala ifutwe. --Baba Tabita (majadiliano) 07:13, 2 Mei 2012 (UTC)

IMEFUTWA Kipala (majadiliano) 15:23, 11 Mei 2012 (UTC)

Ndege kubwa duniani

Wala mada haifai kwa kamusi wala yaliyomo hayajaleta maana nzuri. Na ifutwe, --Baba Tabita (majadiliano) 09:05, 9 Mei 2012 (UTC)

IMEFUTWA Kipala (majadiliano) 15:23, 11 Mei 2012 (UTC)

Elisha mwankundile

Kwa kawaida makala hii ningeifuta mara moja lakini nitaiacha siku 2 maana inaonekana kuna mgeni ambaye hajaelewa bado utaratibu. Nisipokosei ni Elisha mwenyewe aliyeandika hii. Ninamwomba ajiandikishe kama mtumiaji halafu yuko huru kujieleza jinsi anavyotaka kwenye ukurasa wake wa binafsi. Mwanafunzi kwa kawaida si mada ya makala - kama hakuna ushuhuda ya kwamba wamekuwa maarufu kwa sababu kitabu kimeandikwa juu yake au alikuwa mwenyewe sababu ya majadiliano katika jamii inayoonekana kwa njia ya magazeti n.k. Kama Elisha anajiandikisha atapata dirisha la Karibu lenye maelezo ya kimsingi Kipala (majadiliano) 15:19, 11 Mei 2012 (UTC)

Agathon Kipandula

Haijaonyeshwa kama mtu huyu astahili kupata makala ya kamusi elezo. Isipoonyeshwa na makala ifutwe. --Baba Tabita (majadiliano) 18:56, 20 Mei 2012 (UTC)

Caption George Geoffrey Mbawala

Makala haionyeshi umuhimu wa mtu huyu. Isipoonyeshwa sababu ya huyu mtu kustahili aingizwe katika kamusi elezo, na makala ifutwe. --Baba Tabita (majadiliano) 18:56, 20 Mei 2012 (UTC)

James Fredrick James

Huyu kijana hastahili makala katika kamusi elezo kwa hiyo nashauri ifutwe. --Baba Tabita (majadiliano) 19:02, 20 Mei 2012 (UTC)

Maana ya jina Jennifer

Jonasi, naona umeweka makala hii bila maana baya. Basi si mahali pake. Hapa wikipedika kuna kamusi - nafasi ya makala uliyotumia si mahali pa maswali. Naomba ujiandikishe na utapata ushauri wapi kuandika maswali. Makala hii itafutwa karibuni lakini nakupa nafasi ya kusoma haya na kujiandikisha. Kipala (majadiliano) 17:54, 29 Mei 2012 (UTC)

Yethroy Jerome Ngaunje

Bwana Yethroy naomba ujiandikishe na kuhamisha habari zako kwenye ukurasa wako wa binafsi. Uko karibu kushiriki hapa. Lakini umeandika katika nafasi ya makala wewe si mtu anayefaa kuwa na makala ya kamusi (kama mimi mwenyewe sistahili). Kwa hiyo ukurasa huu utafutwa karibuni lakini nakupa siku 3 upate kusoma nilichoandika na kuielewa upate kujiandikisha.Kipala (majadiliano) 17:54, 29 Mei 2012 (UTC)

Vifaa binafsi
Maeneo ya wiki

Vibadala
Vitendo
Urambazaji
Vifaa
Lugha zingine