Uzinifu
Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Mchoro wa Goya Mujeres riendo (Wanawake wakicheka).
| Vilema vikuu |
|---|
Uzinifu ni hamu isiyoratibiwa ya ashiki katika maisha ya binadamu.
Kwa kawaida watu wanakubaliana kwamba utafutaji wa ashiki unahitaji kuwa na mipaka, hasa usilenge ndugu wa damu.
Katika maadili unaorodheshwa kati ya vilema vikuu vilivyo mizizi ya dhambi nyingine, Biblia inavyoonyesha wazi katika habari ya mfalme Daudi kuzini na mke wa askari wake Uria.
| Makala bado ni mbegu. Unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuongezea habari. |