Usain Bolt
Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Usain St. Leo Bolt (/juːˈseɪn/; amezaliwa tar. 21 Agosti 1986, Trelawny, Jamaika) ni mkimbiaji akiwa na ushindi wa medali za dhahabu mara tatu kwenye Mashindano ya Olimpiki.
| Makala hii kuhusu mambo ya michezo bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Usain Bolt kama historia yake, uenezi au kanuni zake? Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |