The African Queen

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

The African Queen (Filamu) ni filamu ya matukio iliyotoka mwaka 1951 kutoka Uingereza na Marekani iliyochukuliwa kutoka kwenye riwaya ya mwaka 1935 yenye jina sawa ya C. S. Forester.[1]

Filamu hii iliongozwa na John Huston wakati Sam Spiegel na John Woolf wakiwa watayarishaji.

Wahusika[hariri | hariri chanzo]

  • Humphrey Bogart ambaye alicheza kama Charlie Allnut
  • Katharine Hepburn ambaye alicheza kama Rose Sayer
  • Robert Morley ambaye alicheza kama Reverend Samuel Sayer, "The Brother"
  • Peter Bull ambaye alicheza kama kapteni wa Königin Luise
  • Theodore Bikel ambaye alicheza kama afisa wa kwanza wa Königin Luise
  • Walter Gotell ambaye alicheza kama afisa wa pili wa Königin Luise
  • Peter Swanwick ambaye alicheza kama afisa wa kwanza wa Fort Shona
  • Richard Marner ambaye alicheza kama afisa wa pili wa Fort Shona
  • Gerald Onn ambaye alicheza kama afisa mdogo wa Königin Luise (uncredited)

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

  1. "The African Queen (1951) at Reel Classics". www.reelclassics.com. Ilihifadhi kwenye nyaraka kutoka chanzo mnamo 2015-01-06. Iliwekwa mnamo 2022-08-10.