Shakivale

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Rukia: urambazaji, tafuta
Shakivale
Shakivale-nyika
Uainishaji wa kisayansi
Himaya: Animalia (Wanyama)
Faila: Chordata (Wanyama wenye ugwe wa neva mgongoni)
Ngeli: Aves (Ndege)
Oda: Accipitriformes (Ndege kama vipanga)
Familia: Accipitridae (Ndege walio na mnasaba na vipanga)
Nusufamilia: Buteoninae (Shakivale)
Jenasi: Busarellus Lesson, 1843

Butastur Hodgson, 1843
Buteo Lacépède, 1799
Buteogallus Lesson, 1830
Geranoaetus Kaup, 1844
Geranospiza Kaup, 1847
Harpyhaliaetus Lafresnaye, 1842
Kaupifalco Bonaparte, 1854
Leucopternis Kaup, 1847
Parabuteo Ridgway, 1874

Shakivale ni ndege mbua wa nusufamilia Buteoninae katika familia Accipitridae. Wana mwili mnono na mabawa mapana. Shakivale wengi hula wanyama wadogo, lakini wengine hula wadudu na mizoga pia. Huwimba mbugani, lakini hujenga tago lao mahali kwenye miti juu ya mti, kichaka kirefu au jabali.

Yaliyomo

Spishi za Afrika [hariri]

Spishi za mabara mengine [hariri]

Spishi za kabla ya historia [hariri]

Picha [hariri]