Peter Doherty

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Peter Doherty

Peter Charles Doherty (amezaliwa 15 Oktoba, 1940) ni mganga wa mifugo kutoka nchi ya Australia. Hasa alichunguza kingamwili. Mwaka wa 1996, pamoja na Rolf Zinkernagel, alikuwa mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Tiba.

Makala hii kuhusu mshindi wa Tuzo ya Nobel bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Peter Doherty kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.