Paul Emsley

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Paul Emsley (alizaliwa 25 Agosti 1947) ni msanii wa nchini Uingereza ambaye alifanya kazi nchini Afrika Kusini hadi mwaka1996 na kwa sasa anaishi Bradford-on-Avon, Wiltshire, Uingereza. Pia ni mhadhiri wa zamani katika Chuo Kikuu cha Stellenbosch na mshindi wa 2007 wa tuzo ya BP Portrait Award kama mchoraji wa picha. [1]  ] Kazi yake hupatikana katika sehemu nyingi nchini Afrika Kusini, kama The National Portrait Gallery London na katika makumbusho ya The British Museum. Anajulikana kwa picha zake mbalimbali za watu, wanyama na maua.

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

Makala hii kuhusu mtu huyo bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Paul Emsley kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.