Paka

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Paka
Paka miguu-myeusi
Paka miguu-myeusi
Uainishaji wa kisayansi
Himaya: Animalia (Wanyama)
Faila: Chordata (Wanyama wenye ugwe wa neva mgongoni)
Ngeli: Mammalia (Wanyama wenye viwele)
Oda: Carnivora (Wanyama mbua)
Nusuoda: Feliformia (Wanyama kama paka)
Familia: Felidae (Wanyama walio na mnasaba na paka)
Nusufamilia: Felinae (Wanyama wanaofanana na paka)
Fischer von Waldheim, 1817
Ngazi za chini

Jenasi 10:

Paka ni wanyama mbuai wa nusufamilia Felinae katika familia Felidae. Spishi nyingine zinaitwa duma, simbamangu na mondo. Nyingi ni ndogo kama paka-kaya lakini spishi kama duma, linksi na puma ni kubwa zaidi sana. Isipokuwa simbamangu, Asian golden cat, puma na pengine paka-msitu, paka wote wana milia na/au madoa. Paka hukamata mawindo aina yo yote lakini ukubwa wa mawindo unafuatana na ukubwa wa spishi ya paka. Spishi nyingine zinatokea msitu na nyingine zinatokea maeneo wazi.

Spishi za Afrika[hariri | hariri chanzo]

Spishi za mabara mengine[hariri | hariri chanzo]

Picha[hariri | hariri chanzo]

Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]

https://en.wikipedia.org/wiki/Cat