Paka-maji

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Paka-maji
Paka-maji (Felis chaus nilotica)
Paka-maji (Felis chaus nilotica)
Uainishaji wa kisayansi
Himaya: Animalia (Wanyama)
Faila: Chordata (Wanyama wenye ugwe wa neva mgongoni)
Ngeli: Mammalia (Wanyama wenye viwele)
Oda: Carnivora (Wanyama mbua)
Nusuoda: Feliformia (Wanyama kama paka)
Familia: Felidae (Wanyama walio na mnasaba na paka)
Nusufamilia: Felinae (Wanyama wanaofanana na paka)
Jenasi: Felis
Linnaeus, 1758
Spishi: F. chaus
Schreber, 1777
Nususpishi: F. c. nilotica
de Winton, 1898

Paka-maji (Felis chaus nilotica) ni mnyama mbuai wa nusufamilia Felinae katika familia Felidae. Paka huyu ni nususpishi ya paka-mwitu (Felis chaus)[1] na anatokea bonde la Mto wa Naili.

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

  1. Wozencraft, W. Christopher (2005). "Order Carnivora (pp. 532-628)". In Wilson, Don E., and Reeder, DeeAnn M., eds. Mammal Species of the World: A Taxonomic and Geographic Reference (3rd ed.). Baltimore: Johns Hopkins University Press, 2 vols. (2142 pp.). ISBN 978-0-8018-8221-0. OCLC 62265494

Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]

Wikimedia Commons ina media kuhusu:
Makala hii kuhusu mnyama fulani bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Paka-maji kama uainishaji wake wa kibiolojia, maisha au uenezi wake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.