Nguva
Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
| Nguva | ||||||||||||
|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|
Nguva wa kawaida
|
||||||||||||
| Uainishaji wa kisayansi | ||||||||||||
|
||||||||||||
| Ngazi za chini | ||||||||||||
|
familia 2 |
Nguva (Kisayansi: Sirenia) ni mnyama mwenye vikono vya mbele na mkia wenye umbo la pembetatu anayeishi Bahari ya Hindi, Bahari ya Karibi, Afrika ya Magharibi na mto wa Amazoni. Jina la Kisayansi Sirenia linatoka neno la Kigiriki Σειρῆνες Seirēnes. Neno la "nguva" pia ina maana ya mtu mwenye mwili wa mwanamke na mkia wa samaki kama sireni wa mitholojia ya Kigiriki. Hula manyasi ya bahari na mimea ya maji mingine.
Spishi [hariri]
- Dugong dugon, Nguva wa Kawaida (Dugong)
- Hydrodamalis gigas, Nguva Mkubwa wa Steller (Steller's Sea Cow) imekwisha sasa (mnamo 1768)
- Trichechus inunguis, Nguva wa Amazonas (Amazonian Manatee)
- Trichechus manatus, Nguva wa West Indies (West Indian Manatee)
- Trichechus m. latirostris, Nguva wa Florida (Florida Manatee)
- Trichechus m. manatus, Nguva wa Karibi (Antillean Manatee)
- Trichechus senegalensis, Nguva Magharibi (African Manatee)
Picha [hariri]
|
|||||||||||||||||
Ili kupata maelezo kuhusu masanduku ya uanapwa ya spishi angalia: Wikipedia:WikiProject Mammals/Article templates/doc.