Moussa Doumbia

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Moussa Doumbia

Moussa Doumbia (alizaliwa 15 Agosti 1994) ni mchezaji wa soka wa Mali ambaye sasa anacheza katika Ligue 1 huko Ufaransa klabu ya Reims. Anacheza kama kiungo mshambuliaji au winga wa kushoto.

Kazi Klabu[hariri | hariri chanzo]

Tarehe 16 Juni mwaka 2014, Doumbia ilisaini mkataba wa miaka minne katika klabu ya FC Rostov Ligi Kuu ya Urusi.

Mnamo tarehe 25 Februari mwaka 2017, Doumbia alijiunga na klabu ya Tula kwa mkopo katika msimu wa mwaka 2016-17.

Tarehe 27 Juni mwak 2018, alisaini mkataba wa miaka minne na klabu ya Kifaransa iitwayo Reims.

Makala hii kuhusu mchezaji mpira fulani bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Moussa Doumbia kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.