Morice Abraham

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Morice Michael Abraham (alizaliwa 13 Agosti 2003), ni mchezaji wa mpira wa miguu wa nchini Tanzania ambaye alicheza kama kiungo wa klabu ya Spartak Subotica katika ligi ya SuperLiga nchini Serbia.

Ushiriki katika klabu[hariri | hariri chanzo]

Abraham ni mchezaji wa zamani wa akademi ya vijana Alliance ya Mwanza . Mnamo Septemba 2021, alisaini mkataba wa miaka minne na klabu ya Spartak Subotica nchini Serbia . [1] Alianza kucheza kwa mara ya kwanza katika klabu hiyo mnamo 28 Novemba 2021 katika kichapo cha 3-0 dhidi ya Red Star Belgrade . [2]

Ushiriki kimataifa[hariri | hariri chanzo]

Abraham alikuwa nahodha wa kikosi cha Tanzania kwenye Kombe la Mataifa ya Afrika chini ya miaka 17 mwaka 2019 . [3] [4]

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

  1. "Dar midfielder joins Serbian Premier League outfit". 13 September 2021. Iliwekwa mnamo 10 December 2021.  Check date values in: |date=, |accessdate= (help)
  2. "Red Star Belgrade vs. Spartak Subotica". Iliwekwa mnamo 10 December 2021.  Check date values in: |accessdate= (help)
  3. "Serengeti Boys lose to Nigeria in 2019 AFCON U-17 tourney opener". 15 April 2019. Iliwekwa mnamo 10 December 2021.  Check date values in: |date=, |accessdate= (help)
  4. "AFCON U17 - Nigeria shock host Tanzania in nine-goal thriller". 14 April 2019. Iliwekwa mnamo 10 December 2021.  Check date values in: |date=, |accessdate= (help)
Makala hii kuhusu mchezaji mpira fulani bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Morice Abraham kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.