Monica Jones Kaufman Pearson

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Monica Jones Kaufman Pearson akiwa na mme wake, John Pearson, katika tuzo za Peabody 2016
Monica Jones Kaufman Pearson akiwa na mme wake, John Pearson, katika tuzo za Peabody 2016

Monica Jones Kaufman Pearson (alizaliwa Oktoba 20,mnamo mwaka 1947) ni mwandishi wa habari raia wa Marekani.

Alianza Kazi ya Pearson katika Louisville, Kentucky mtangazaji wa habari na taarifa ya WHAS-TV, wakati huo huo pia akifanya kazi kama mwandishi wa Louisville Times. Pearson alihamia Atlanta, Georgia mnamo mwaka 1975, alikua mwanamke wa kwanza na Mwafrika-Amerika kutia nanga katika habari za jioni WSB-TV.

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

Makala hii kuhusu mtu huyo bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Monica Jones Kaufman Pearson kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.