Meriem Fekkaï

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Meriem Fekkai (1889 - 18 Julai, 1961) pia huandikwa Fekai, alikuwa mwimbaji wa nchini Algeria .

Fekkai alitoka katika familia ya Kiyahudi, alizaliwa na kukulia huko Biskra, Algiers, ambapo alikuza kazi yake ya muziki. [1] Alianza kazi yake ya uimbaji kwa kuchelewa, lakini alikuwa na mafanikio makubwa wakati huo. 

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

  1. "Grande dame de la chanson Algérienne". Iliwekwa mnamo December 14, 2012.  Check date values in: |accessdate= (help)