Meriem Fekkaï
Meriem Fekkai (1889 - 18 Julai, 1961) pia huandikwa Fekai, alikuwa mwimbaji wa nchini Algeria .
Fekkai alitoka katika familia ya Kiyahudi, alizaliwa na kukulia huko Biskra, Algiers, ambapo alikuza kazi yake ya muziki. [1] Alianza kazi yake ya uimbaji kwa kuchelewa, lakini alikuwa na mafanikio makubwa wakati huo.
Marejeo[hariri | hariri chanzo]
- ↑ "Grande dame de la chanson Algérienne". Iliwekwa mnamo December 14, 2012. Check date values in:
|accessdate=
(help)