Melody Maker

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Faili:Melody-Maker-7-September-1968.jpg
Gazeti la Melody Maker

Melody Maker (lilikuwa likichapwa nchini Uingereza hadi mwaka 2000) lilikuwa jarida lililokuwa likitoa habari za muziki dunia kila wiki.[1]

Jarida liilianzishwa mnamo 1926 likiwa limejibobesha zaidi katika kuelezea taarifa za wanamuziki tu.

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

  1. Melody Maker to merge with NME, a Desemba 2000 BBC article

Viungo vya Nje[hariri | hariri chanzo]

Makala hii kuhusu mambo ya muziki bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Melody Maker kama historia yake au mahusiano yake na mada nyingine?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.