Mazinguo

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Yesu akipunga pepo bubu kadiri ya Gustav Doré, 1865.

Mazinguo (kutoka kitenzi kuzingua, kinyume cha kuzinga; pia: kupunga; kwa Kiingereza: exorcism kutoka Kigiriki: ἐξορκισμός, uapisho) ni dua za kuondoa pepo au viumbe wa kiroho wanaofikiriwa kuleta madhara kwa binadamu au mazingira yake[1].

Vitendo vya namna hiyo vinafanyika toka kale katika dini mbalimbali.

Mtu anayetoa huduma hiyo anaitwa mzinguaji. Katika historia baadhi ya watu wa namna hiyo walipata kuwa maarufu sana, kama vile Yesu.

Tanbihi[hariri | hariri chanzo]

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]

Wikimedia Commons ina media kuhusu:
Makala hii kuhusu mambo ya dini bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu mada hii kama historia yake au uenezi wake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.