Lango:Afrika/Wasifu uliochaguliwa
Wasifu Uliochaguliwa[hariri chanzo]
- 01 Januari 2012 : Dennis Oliech
- 01 Februari 2012 : Haile Selassie
- 01 Machi 2012 : Patrice Lumumba
- 01 Aprili 2012 : Robert Mugabe
- 01 Mei 2012 : Shaka
- 01 Juni 2012 : Desmond Tutu
- 01 Julai 2012 : Kofi Annan
- 01 Agosti 2012 : Muammar al-Gaddafi
- 01 Septemba 2012 : Idris I wa Libya
- 01 Oktoba 2012 : Mohamed Abdelaziz
- 01 Novemba 2012 : Nelson Mandela
- 01 Desemba 2012 : Olusegun Obasanjo
Wasifu Uliochaguliwa kwa Mei 2012[hariri chanzo]
Shaka (pia: Tshaka, Tchaka au Chaka; halafu: Shaka Zulu, Shaka ka Senzangakhona) (* takriban 1781 - 1828 BK) alikuwa kiongozi wa Wazulu aliyebadilisha ukoo mdogo wa Kinguni kuwa kabila au taifa kubwa lililotawala maeneo mapana ya Afrika Kusini hasa Natal ya leo. Sifa zake zimetokana na uwezo wa kupanusha utawala wake kutoka eneo ndogo la 260 km² kuwa 28.500 km², kuvunja nguvu ya makabila mengine na kuyaunganisha na taifa lake. Katika historia ya kijeshi ya Afrika alianzisha mbinu mpya zilizopanusha uwezo na enzi yake.