Kundi la Sameer

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Nembo ya Kundi la Sameer

Kundi la Sameer ni kundi kubwa la kampuni za Afrika zilizo na makao yao nchini Kenya. Sameer imejihusisha na ukulima,sekta ya viwanda,teknolojia, ujenzi ,usafiri na fedha. Ofisi za kampuni hii zinapatikana mjini Nairobi na imeorodheshwa katika Soko la Hisa la Nairobi.

Kampuni shirika[hariri | hariri chanzo]

Machi 2007: Kampuni shirika za Kundi la Sameer ni:

Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]