Kinega
Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
| Kinega | ||||||||||||||||||
|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|
| Uainishaji wa kisayansi | ||||||||||||||||||
|
Vinega ni ndege wa jenasi Riparia katika familia Hirundinidae. Wanafanana na mbayuwayu lakini wana rangi ya mchanga na nyeupe. Mwenendo wao ni sawa na ule wa mbayuwayu. Hulichimba tundu lao katika ukingo au chungu ya mchanga. Jike huyataga mayai 2-5.
[hariri] Spishi za Afrika
- Riparia cincta, Kinega Miraba (Banded Martin)
- Riparia congica, Kinega wa Kongo (Congo Sand Martin)
- Riparia paludicola, Kinega Koo-kahawia (Plain Martin)
- Riparia riparia, Kinega-mchanga (Common Sand Martin)
[hariri] Spishi ya Asia
- Riparia diluta (Pale Martin)