Karl Shapiro

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Faili:Karl Shapiro.jpg
Karl Shapiro

Karl Jay Shapiro (10 Novemba 191314 Mei 2000) alikuwa mshairi kutoka nchi ya Marekani. Mwaka wa 1945 alipokea Tuzo ya Pulitzer ya Ushairi.

Viungo vya Nje[hariri | hariri chanzo]

Makala hii kuhusu mwandishi fulani bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Karl Shapiro kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.