Karim Ouellet

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Karim Ouellet
Ouellet mnamo mwaka 2013
Ouellet mnamo mwaka 2013
Alizaliwa 8 Desemba 1984
Alikufa 15 Novemba 2021
Nchi Kanada
Kazi yake mwimbaji

Karim Ouellet (8 Desemba 1984 - 15 Novemba 2021) alikuwa mwimbaji na mtunzi wa nyimbo wa pop nchini Kanada mzaliwa wa Dakar, Senegal[1].

Alitoa albamu tatu kati ya 2011 na 2016, Albamu yake ya pili Fox ilishinda Tuzo la Juno mnamo 2014.

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

  1. "15e édition des Francouvertes, 2011". Les Francouvertes. Ilihifadhi kwenye nyaraka kutoka chanzo mnamo 2022-08-13. Iliwekwa mnamo January 18, 2022.  More than one of |accessdate= na |access-date= specified (help); Check date values in: |accessdate= (help)