Jutta Rantala

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Rantala mnamo 2015

Jutta Rantala (alizaliwa 10 Novemba 1999)[1][2] ni mchezaji wa mpira wa miguu kutoka Ufini ambaye anacheza kama mshambuliaji wa Leicester City inayoshiriki katika Ligi Kuu ya Wanawake (WSL) na timu ya taifa ya Ufini.

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

  1. UEFA.com. "Jutta Rantala | Women's World Cup 2023". UEFA.com (kwa Kiingereza). Iliwekwa mnamo 2024-04-27. 
  2. "Jutta Rantala". HJK Helsinki (kwa en-US). Iliwekwa mnamo 2024-04-27. 
Makala hii kuhusu mchezaji mpira fulani bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Jutta Rantala kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.