Jordan Emanuel
Jordan Emanuel ni mwanamitindo, mwanahabari, pia mhisani na mwanzilishi wa shirika la Women With Voices[1]
Jordan Emanuel alizaliwa Baltimore Maryland na kukulia Basking Ridge New Jersey.[2]
Emanuel alipata shahada kutoka Chuo Kikuu cha Miami, katika masuala ya Uandishi wa Habari wa Matangazo, Biashara ya Muziki, na Historia ya Sanaa.
Marejeo[hariri | hariri chanzo]
- ↑ Coleman, Oli (March 10, 2020). "Playboy to end Playmate of the Year in favor of inclusivity". Page Six. NYP Holdings, Inc. Check date values in:
|date=
(help) - ↑ "Playboy Models: Jordan Emanuel". www.playboy.com (kwa Kiingereza). Iliwekwa mnamo April 29, 2019. Check date values in:
|accessdate=
(help)