Jordan Emanuel

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Jordan Emanuel mnamo 2019
Jordan Emanuel mnamo 2019

Jordan Emanuel ni mwanamitindo, mwanahabari, pia mhisani na mwanzilishi wa shirika la Women With Voices[1]

Jordan Emanuel alizaliwa Baltimore Maryland na kukulia Basking Ridge New Jersey.[2]

Emanuel alipata shahada kutoka Chuo Kikuu cha Miami, katika masuala ya Uandishi wa Habari wa Matangazo, Biashara ya Muziki, na Historia ya Sanaa.

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

  1. Coleman, Oli (March 10, 2020). "Playboy to end Playmate of the Year in favor of inclusivity". Page Six. NYP Holdings, Inc.  Check date values in: |date= (help)
  2. "Playboy Models: Jordan Emanuel". www.playboy.com (kwa Kiingereza). Iliwekwa mnamo April 29, 2019.  Check date values in: |accessdate= (help)