Jean-Auguste-Dominique Ingres
Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Jean-Auguste-Dominique Ingres (Agosti 29 1780 - Januari 14 1867) alikuwa mchoraji kutoka Ufaransa. Pia alikuwa profesa wa sanaa katika Chuo cha Sanaa Nzuri (École des Beaux-Arts) mjini Paris. Yeye ilipatiwa tuzo la Medali ya Heshima (Légion d'honneur) na alikuwa ni mwanachama wa Taasisi ya Ufaransa (Institut de France).