Jan P. Syse
Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Jan Peder Syse (25 Novemba, 1930 – 17 Septemba, 1997) alikuwa mwanasiasa kutoka nchi ya Norwei. Alikuwa Waziri Mkuu wa Norwei kuanzia 16 Oktoba 1989 hadi 3 Novemba 1990.
[hariri] Angalia Pia
| Makala hii kuhusu mwanasiasa fulani bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Jan P. Syse kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |