Irina Ektova

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Irina Litvinenko-Ektova mwaka 2013 katika michezo ya Riadha ya Mabingwa wa Dunia

Irina Ektova (née Litvinenko alizaliwa Petropavlovsk, Kazakhstan, 8 Januari 1987) ni mwanariadha wa mchezo wa kuruka mara tatu.

Ameolewa na Yevgeniy Ektov.[1]

Alishindana kwenye Olimpiki za msimu wa joto mwaka 2008, 2012, na 2016 bila kufikia fainali.[2]

Rekodi yake bora ni ile aliyoruka mita 14.48, Juni 2011 huko Almaty.

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

  1. "Irina Litvinenko-Ektova Bio, Stats, and Results | Olympics at Sports-Reference.com". web.archive.org. 2016-12-03. Ilihifadhi kwenye nyaraka kutoka chanzo mnamo 2016-12-03. Iliwekwa mnamo 2021-09-28. 
  2. "Irina Litvinenko-Ektova Bio, Stats, and Results | Olympics at Sports-Reference.com". web.archive.org. 2016-12-03. Ilihifadhi kwenye nyaraka kutoka chanzo mnamo 2016-12-03. Iliwekwa mnamo 2021-09-28.