Ilya Frank

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Rukia: urambazaji, tafuta
Ilya Frank
Tuzo Nobel.png

Ilya Mikhaylovich Frank (23 Oktoba, 190822 Juni, 1990) alikuwa mwanafizikia kutoka nchi ya Urusi. Hasa alichunguza uhusiano kati ya elektroni na nuru. Mwaka wa 1958, pamoja na Igor Tamm na Pavel Cherenkov alikuwa mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fizikia.


Scientist.svg Makala hii kuhusu mwanasayansi fulani wa Ulaya bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Ilya Frank kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.
Vifaa binafsi
Maeneo ya wiki

Vibadala
Vitendo
Urambazaji
Vifaa
Lugha zingine