Helena wa Uswidi

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Sanamu ya Mt. Helena.

Helena wa Uswidi (kwa Kiswidi: Elin av Skövde; aliuawa Skövde, Västergötland, Uswidi, 31 Julai 1160) alikuwa mjane wa ukoo bora wa Uswidi ambaye aliuawa bila haki.

Anaheshimiwa na Kanisa Katoliki kama mtakatifu mfiadini kwa kibali cha Papa Aleksanda III (1164)[1][2].

Sikukuu yake huadhimishwa tarehe 31 Julai[3].

Tazama pia[hariri | hariri chanzo]

Tanbihi[hariri | hariri chanzo]

  1. "St Helena’s Church, Skövde" (kwa Kiingereza). Skövde, Sweden: Skövde Tourist Centre. Iliwekwa mnamo 2 June 2021.  Unknown parameter |url-status= ignored (help); Check date values in: |accessdate= (help)
  2. http://www.santiebeati.it/dettaglio/65100
  3. Martyrologium Romanum
Makala hii bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.